Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Ordklasse: proper noun
  • Synonym(er):
  • Blossary:
  • Fagområde/Domene Culture
  • Category: People
  • Company:
  • Produkt:
  • Akronym-Forkortelse:
Legg til Min ordliste

Hva ønsker du å si?

Du må logge inn for å legge inn i diskusjoner.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Ordlister

  • 0

    Followers

Fagområde/Domene Language Category: Grammar

lugha tenganishi

lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...

Bidragsyter

Featured blossaries

Basketball Fouls

Kategori: Sport   1 10 Terms

Concert stage rigging

Kategori: Entertainment   1 4 Terms

Browers Terms By Category