Home > Terms > Swahili (SW) > maisha

maisha

Zawadi za Mungu kwa maisha ya binadamu na maisha yake Mungu tuliyopewa kama neema inayotakasa. Zaidi maana yake ya kawaida ya maisha ya binadamu, Yesu alitumia "maish " kuashiria kuwepo wake katika Utatu, ambayo inawezekana kwa wale ambao huitikia mwaliko wake ili kugeuka kutoka kwa dhambi na kufungua mioyo yao kwa upendo wa Mungu. Uzima wa milele kunaashiria kwamba zawadi hii itadumu milele katika furaha ya mbinguni. Kipawa hiki cha Mungu kinaanza na "maisha" ya imani na "maisha mapya" ya Ubatizo (1225), kinawasilishwa katika kutakatifuza neema (1997), na kufikia ukamilifu katika ushirika wa maisha na upendo na Utatu Mtakatifu mbinguni (1023).

0
Legg til Min ordliste

Hva ønsker du å si?

Du må logge inn for å legge inn i diskusjoner.

Terms in the News

Featured Terms

DEBORA KAYEMBE
  • 0

    Terms

  • 0

    Ordlister

  • 7

    Followers

Fagområde/Domene Government Category: American government

Making Home Affordable

Mpango rasmi wa Idara ya Hazina & Nyumba na Maendeleo Mijini kusaidia wamiliki wa makazi ambaye ni ikikabiliwa na malipo ya mikopo, au inakabiliwa ...

Bidragsyter

Featured blossaries

Starbucks Espresso Beverages

Kategori: Food   2 34 Terms

5 different Black Friday

Kategori: History   2 5 Terms